Sunday, July 12, 2015

TULIANZA NAMNA HII


Kila kitu tunaamini kilikuwa au kina mwanzo isipokuwa tu yanabaki maswali yasiyo na majibu kibinaadam kama vile 'Mungu alianzia wapi'? Lakini kwa upande wa " 'Baragumu' Kwaya"  aaaaa'  sisi tulianzia mbali, tukapiga hatua,  tukasonga, na sasa muda kitambo kidogo tulikuwa hapa na tumesonga mbele zaidi. 'MUNGU NI MWEMA'



No comments: